Ijumaa, 20 Desemba 2013

MAUSIANO YENYE TIJA







MAUSIANO;

Duniani hakuna kitu kizuri kama kuhusiana na watu vizuri ili uweze kufanikisha uhitaji wako wakati wa uwitaji na uwitaji wao. (saidia ili nikusaidie)

Kuna misemo mingi unayotilia mkazo kuhusiano vizuri katika jamii inayozunguka; 

-ishi na watu uvae viatu

-kidole kimoja akivunji chawa.

-umoja ni nguvu.

-heri wawili kuliko umoja.

Kuna wakati unaweza fika hauta ona maana ya maneno/misemo hii bali utaona bora uwe pekee yako na wakati mwingine hutaona uwitaji wa kuwa na uwitaji na mtu yeyote.

Ukweli furaha yote inayotokana na mausiano kati ya mtu na watu yanaleta furaha ya kimwili na wala haigusi roho ya mwanadamu.(japo unaweza kuhihusisha)

Vitu vya kuongelea katika mausiano;

i.nini maana ya mausiano?
                                          
                                         ii.vyanzo vya mausiano.

 iii.namna ya kujenga mausiano/kuimarisha mausiano.
                                         
                                       iv.namna ya kuyabomoa mausiano.
  
v.dalili za kubomoa mausiano.
                                         
                                     vi.dalili za kujenga mausiano.

 vii.faida za mausiano yaliyoimarika.
                                     
                                  viii.hasara ya mausiano yaliyo vunjika.
 Ix.namna ya kuwa salama katika kila haina ya mausiano

Luka 21:15-19



i.Nini maana ya mausiano?

Mausiano ni jumla ya mambo mbalimbali, unaishije na jamii unayoizunguka,inaielewaje jamii inayokuzunguka na unaipa nafasi gani katika maisha yako.

Kwa kifupi utaelezea maana ya mausiano ni hali ya mwingiliano baini ya mtu na mtu au mtu na kikundi cha watu.

Mtazamo wako ulivyo tofauti baini ya watu wa jamii moja au tofauti inaonyesha namna mnavyo uhusiana.

Kuna mambo uwezi kufanya kwa mtu huyu na mtu mwingine unaweza kufanya hiyo inaonyesha namna mnavyo husiana.

Kuna neno unaweza kuliongea kwa mtu unayempenda( mpenzi) wako lakini uwezi kuliongea kwa mtu mwingine.

Mtazamo wako wako juu ya wako juu ya watu unaoleta mausiano unajengwa uelewa wako na ulikotoka.(chimbuko gani umetokea).

Kila mahali ulipo pana haina ya mausiano mathalani kazini,shuleni,kanisani na jamii inayokuzunguka(majirani) pia kunamgawanyo ya mausiano kama mtoto na wazazi, wapenzi, rafiki. Na nimtu mmoja anaweza 

kujihusisha na hayo mausiano.
Mtu alivyo kwako ndivyo utakavyo uhusiano nae,akiwa mchungaji lazima utambue usiano ukoje?

ii.vyanzo vya mausiano

siku zote msingi mzuri upelekea mwendelezo mzuri.

Lazima ujue kwanini na uhusiana na mtu uliyenae na katika yapi mnahusiana ili uweze kuunda uhusiano mzuri na ukiweka mipaka kulingana na uhusiano wenu.

Mnawe mkausiana katika jambo mmoja na mengine usimmuhusishe kabisa ili kulinda msingi wa mausiano.
Sio kwa kuwa amekufurahisha basi ukamuhusisha na mambo mengine ambayo haitaji kuhusishwa.
Usipokuwa mwangalifu katika vyanzo vya mausiano unaweza ukapoteza hatima yako.

Suleimani na wake.

Ikonjia hionekayo….mithali 14:12
duniani kila jambo linamwanzo kupelekea mwisho.kila mausiano lazima uangalie chimbuko gani mmekutana ili kutambua ustawi wake.

Nini kilichofanya mkutane katika mazingira ya aina gani yana uhalali au yasiyo ya uhalali.

Kwakua kitu kilicho waunganisha ndicho kitawafanya mwendelee hivyo kinategemea kinamwendelezo mzuri wa kiroho au la!

Mahali au hali tofauti zinaweza kuleta kuanzisha mausiano;

-sehemu ya matukio(msibani,harusi,hospitali)

-mazingira yaliyo na maumivu(kusalitiwa,kutengwa,kuachwa)
Wakati huu utegemea na mtu kipindi hiki ufanya moyo uwa umetulia na akili isiyo na maamuzi mamoja.

-sehemu za elimu(shuleni kwa ujumla wake-msingi mpaka chuo,ufundi)

Tambua kukutana na mtu katika mazingira yoyote sio lazima chimbuko lake liwe mausiano.

Mazingira hatarishi(vijiwe  visivyo halali(bangi,umbeya,madawa ya kulevya), biashara ya kuuza miili(ngono).
Kila mausiano yanauvuvio wake hivyo lazima utambue huo uvuvio ili kudumu au kutengana.

Mausiano yana leo na kesho.hayana kila siku katika namna moja lazima utambue mfano.mtakapo usiana mnapokuwa watoto sio mtakapo usiana mkiwa watu wenye hatua nyingine kifamilia,kihuduma na shughuli za kimaisha.

Kitu ambacho kimewapa nafasi kuhusiana lazima kipewe nafasi ya utekelezaji wake hasa kikiwa ni chema. 

Discussion ya biblia ina hama  inaingia mapenzi hatimae mnaongezeka.

Yule ambaye mmehusiana kwa muda na pindi mkakutana nae baada ya kupotezana pindi mtakapo kutana zile hisia na akili inarudisha msingi wa mausiano. Na yale mliokwa mkifanya hii inaweza kuwa na hatari inategemea na akili yako. 


iii.Namna ya kujenga mausiano/kuimarisha mausiano

Mausiano yanapoanza uwasikuzote watu utafuta namna ya kuimarisha na kufanya yazidi kuwa mazuri au kuyaboresha siku hadi siku.

Ni kwelikunawakati ambao mausiano yanavunjika inawezekana kwa kila mtu kutosimama kwenye nafasi yake au kwa mpango wa Mungu. Lakini sio swala la kulizingatia au kulitia manani kama kipo uwakinakuja chenyewe.

Kuna mambo ya kuzingatia ili kuimarisha mausiano:

-jiweke wewe kwenye nafasi ya rafiki yako.

Lazima utambue thamani ya mwenzako kwa ukamilifu nauone kuwa furaha yake wewe una mchango wake.
Ona Mungu amekupa nafasi kuwa nae ili afanyike kuwa msaada kwako nawe uwe msaada kwake.

-tambua huduma iliyokuwa ndani ya mwenzako.

Ninyi ni wa Mungu lazima urafiki wenu ujumwihishe huduma zenu na utamani mkiinuana.
Mfano.Daudi na Jonathan

Msukumo wa urafiki wenu uwe ni yale mlio beba ndani sio ndugu au jamaa.

Lazima mjuane vizuri utendaji huduma zenu ili muweze kusaidiana vizuri.

Lazima hiyo huduma inakuwa katika utendaji wa Kimungu sio huduma ya kutimiza wajibu tu, ni huduma yenye mtembeo wa kimungu/inayo kua.

Lazima mjue mko wapi na mnataka kwenda wapi na mikakati ya kutimiza ndoto yenu.

-lazima mpeane nafasi ya kusikilizana.

Tamani kuona furaha/huzuni yake iwe yako kwa gharama yoyote ili mradi mnasonga mbele.

Hakikisha mnafurahiana katika kweli na sio kupakana mafuta tu.

-lazima mtambuane udhaifu wenu.

Udhaifu wenu muweze kukamilishana kwa upendo na kutakiana mambo mazuri.

Lazima uone kuhusika kwako kwa kila jambo linalo mhuhusu tena katika kiwango cha juu Sana.




Iv.Namna ya kuyabomoa mausiano.

Kuna mawili unaweza ukabomoa mausiano wakati unajua au wakati haujui, lakini yote hatima yake ni mausiano kuvunjika.

Kwa mtu uliye mpenda hautafurahia kipindi hiki(kipindi cha maumivu) ila katika mtu usiye mpenda ni wakati wa kuburudika/sherehe.

Hii hiko wazi namna mausiano yanaweza kubomoka haijalishi ulipenda au ulichukia.

Hiki ni kipindi ambacho kina gharama(lazima kunakujigharimu katika maisha yako) kwakua sio maamuzi ambayo yanajurudia siku baada siku.

Kama kuna wakati unahitajika uwe na maamuzi magumu ni katika kipindi hiki ambacho kitajenga historia mpya ya maisha yako.

Hii hatua kama usipoamua vizuri inaweza kugharimu katika maisha yako na doa likabaki ndani ya maisha yote yalio baki.

Kuvunja mausiana haina maana chuki kuchipuka,kumuombea mabaya au kufurahia mabaya yakimpata au kuchukia mazuri yanapomkuta.

Mausiano yanavunjika katika hali mbili yenyewe au walio katika mausiano.

Mtu anaondoka mahali pengine au nchi nyingine,kufa(mausiano yanavunjika yenyewe).

Kuumizana au kusalitiana,(mausiano kuvunjika kutokana na wahusika).

Kuna mambo ya kuzingatia kabla ya kuamua kuvunja:

a)Mmenufaishana katika hali njema.

Yapo mambo mabalimbali yalitukia yakatingisha uhusiano wenu, lakini angalia mchango wake maisha yako.
Sio alikupa hela wakati shida au kukuunganishia kazi(mtu yeyote anaweza kufanya utegemea na moyo wake) kitu ambacho kitaweka alama katika maisha yako.

Lazima kiwepo kama mtu unaye uhusiana kwa kweli na kwa moyo ulio safi wa hali endelevu.

b) Mnatambuana nafasi zenu mbele za Mungu.
Lazima pawepo na mwingiliano kati yenu ambao mnakutanishwa na kutokea kitu chenye nguvu.

c) Nyakati sahihi.
Ni kweli wakati huo sasa unaweza kusimama na ukaendeleza kile ambacho Mungu amekiweka ndani kwa mafanikio.

*Msikilize  Roho mtakatifu ili ajaze nafasi iliyo wazi ndani yako.
Huu ni msingi ambao unakulinda sio sheria kwamba lazima upitiehapo ili ufike hatima ya maamuzi yako.
Baada ya hapo maamuzi ya kuvunja ya chukie nafasi:

*MUONDOE KWENYE AKILI YAKO PASIPO HOFU.

Hakikisha amani imeingia ndani yako ili muone kama kiungo katika mwili wa kristo.


imeandaliwa;
                     Nelson, Cothey – 0764 018 535 or cotheyn@yahoo.com
                    Katiti, James       - 0713 398 042 or james.adili19@gmail.com             


Jumanne, 15 Oktoba 2013

THE POWER OF HEARING



                                             THE POWER OF HEARING

It is well  noted  that hearing is the major source of thinking and deciding any decisions in your life , nothing can take place as you feel so hear is the major source of your performance so as not to hear then there is no performance
God in Creation:
Genesis 1:1-31
God said .........
- the dark and the light become night and day it happened and it has not changed until today .
some water separate be high ( heaven ) and the some should be lower ( ground)
- land and organism produces its kind .
- and whether aviation and aircraft to the extension until it became a situation exists today .
And the Bible says nothing without word was made .
So inorder to take a step depends on you and to make you feel better depends on what you heard ?

As a very important step and very carefully it's time to hear peck you feel better then you did well and you heard wrong , then you do wrong does not circumvent this is it .
so Jesus said very careful based on hear .........
He realizes in hearing about so many things and can do whatever became due and agree.

HOW THE POWER OF HEARING IS OPERATE;
i
.hearing is the foundation of your thoughts.

For instance someone he was told since I present to you then you haven’t  work ...... even it has a few words long walk in the mind of a man pondering what I will do after now and why he decided to do this ! what I 've done  ? These questions can cause anything to happen .
Whatever you hear corresponds to what you understand in your mind and begin its commentary . This situation may change or delay decisions and even early .

ii.hearing is the foundation of your performance .

So in order not to do wrong must be very careful how you hear ,
One can be a very good person , but from what he has can do that will lead you to believe as the different as he was knowing.
What you hear is what you have been doing and sometimes even without understanding well you are doing can be given with respect to the person.
Well nothing to do with what is something that you see him bring benefit to God and to you personally you hear  everything but what most you understand bring health to your mind and heart eventually your body .





PREPARED
                       By ;
                    
                     Nelson , Cothey - 0764 018 535 or cotheyn@yahoo.com
                    
                     Katiti , James - 0713 398 042 or James. adili19 @ gmail.com

Jumanne, 1 Oktoba 2013

NGUVU YA MUNGU NDANI YA MWAMINI



NGUVU YA MUNGU NDANI YA MWAMINI;


Siku zote mtu ufanya jambo kutokana na nguvu yake kwahiyo mwisho wa nguvu zako ndio mwisho wa utendaji wako.kwakua hauwezi fanya jambo ambalo litakuwa zaidi ya nguvu yako

Hivyo nguvu zako ilivyo ndivyo usalama wako ulivyo na ndivyo utanuzi wako ulivyo kwahiyo nguvu uliyonayo ndiyo inaamua wewe uweje?

Kila mtu anacho kitu kinachomfanya ajivunie wako watu wanajivunia PESA,MALI na hata wengine wanajivunia WATU.

Kwa hiyo kila mtu anachojionea fahari na sio kitu kibaya kwakua kila jambo limebeba furaha ya mtu husika kwa sababu ni mmiliki wake.

Duniani ili uishi vizuri lazima kiwepo kitu ambacho kinacho kupa nguvu ya wewe kuendelea kuwepo la sivyo utaishi hauwezi kuyafurahia maisha ya dunia.

Japo zipo nguvu mbalimbali ambazo wanadamu uzitumia katika kufanikisha mambo yao wapo watu wanatumia nguvu za giza(makabulini,bahari,miti na mizimu) na wengine hali ambayo Mungu amewajalia na wapo ambao wame mweka Mungu katika utendaji wao.

Nguvu ni mahali ambapo maisha yako yameegemea ambayo kwa hapo unapata faraja,amani na mwendelezo mzima wa maisha yako.

Ni kweli kuna nguvu nyingi ambazo kila binadamu wanazo ziamini na kwa hizo wamezielekezea maisha yao LAKINI sio kamwe kama mtu ambaye ndani yake kuna nguvu ya Mungu.

Hii ni nguvu ambayoikiamua kufanya jambo hakuna nguvu yeyote ambayo inaweza kuzuia au kushindwa kutokeza. Hii ni nguvu ambayo ndani yake kunakuwa na MUNGU mkamilifu pasipo kupungua,

Hii nguvu ndiyo kwahiyo dunia ilipata kuwepo,mbingu ikafunguka,kuzimu kukataharuki,wafu wakafufuliwa na mengine hata usiyo waza lakini Mungu anatenda.


Hii nguvu haibahatishi bali inapotumwa lazima ikayatimilize yale yaliyo tumwa kwa ukamilifu wake na hakuna ambalo litashindikana kwake.

Unapo mwamini Mungu lazima uziamini nguvu zake ambazo kwa hizo zina kuwa na nguvu katika utendaji wake.

Namna ya kuwa na nguvu ya Mungu ndani yako;

Hii ni nguvu ambayo haina mashariti katika hali ya kukuganamiza bali katika hali ya kuinua maisha yako kuwa katika hali njema zaidi.

                                                   I.Neno la Mungu ndani yako.

 Waebrania 4:12

Nguvu ya Mungu hiko ndani ya neno lake mahali ambapo kuna neno lake basi kuna mamlaka yake,utoshelevu wake.

Kwahiyo ndani yako kama hakuna neno lake usitegemee ukapata hiyo nguvu kwa kuombewa au kwa namna nyingine yoyote. Kwakua nguvu yake inaingia ndani yako kupitia neno lake.

Katika kujenga nguvu ya Mungu kuzidi kutawala ndani yako ni muhimu sana ndani yako pawepo kuwa na hali ya neno la Mungu ndani yako siku zote.

Wakolosai 3:16

Lazima uamue katika kujaza neno la Mungu ndani yako katika hali stahiki kama inavyotakiwa katika ufasaha zaidi ndani yako ili nguvu ya Mungu izidi kuimarika ndani yako pasipo kuchoka ndani yako.

Mathayo 7:24-27

Hakikisha neno la Mungu linazidi ndani yenu kwa ubora na nguvu zake kila siku hakikisha neno la Mungu linakuwa la pekee ndani yako na pia uhakikishe unalipa nafasi katika ukamilisho wake.

Unapoamua kulisoma neno ni kuamua kumsikiliza Mungu hii hatua ya muhimu lakini ni muhimu kutafuta utendaji wa lile ulilolisikia toka kwake.

Pasipo hilo hakuna maana yoyote kwako ya wewe kuwatayari kumsikiliza lakini usiwe tayari  wa kutenda katika yale aliyokuagiza.



Prepared by ;
                     Nelson, Cothey – 0764 018 535 or cotheyn@yahoo.com


                      Katiti, James - 0713 398 042 or james.adili19@gmail.com


                                                                                                                                              


BARIKIWA RAFIKI………………