UTUKUFU WA MUNGU;
Utukufu wa Mungu ni dhana pana sana ambayo yote
inamuelezea Mungu na mambo yake vile anavyoonekana katika namna mbalimbali kama
apendavyo yeye kujidhihirisha.
Utukufu wa Mungu sio kitu kidogo kama watu
wanavyoelewa namna ulivyo huo ukuu wa Mungu ndivyo mambo yake yatavyo kuwa.
Kwa maana hiyo uwezi kusema na uwogopa utukufu wake
lakini yeye mwenyewe si muogopi kwakua katika yeye tunaona utukufu wake na huo
utukufu uwa unayafanya yaliyo yake hivyo uwezi kumtenga yeye na utukufu wake.
Heshima unayompa Mungu ndivyo heshima ya utukufu
wake utakayo mpa hakuna mbadilishano wowote vile alivyo ndivyo utukufu wake
ulivyo.
Mahali ambapo utukufu wa Mungu unatua lazima mahali
hapo pafanane na vile utukufu unataka na hakuna ugumu unaweza kuushinda utukufu
wa Mungu.
UTUKUFU
ni
namna mbalimbali ambavyo Mungu anajidhihirisha katika kuonyesha uweza
wake,mamlaka katika kusudi lake.
Na pindi utukufu wa Mungu unaposhuka utukufu
mwingine unakuwa hatarini maana hakuna utukufu ambao utazuia utendaji wa nguvu
zake.
Utukufu wa Mungu umebeba uwakilishi wa Mungu hivyo
lile ambalo limekusudiwa linafanyika pasipo shaka yoyote kwa namna yoyote
anavyopanga yeye.
Na hakuna mtu atauzoelea utukufu wa Mungu alafu
ukabaki salama ni ngumu sana kwakua Mungu mwenyewe hazoeleki.
Utukufu wa Mungu ni kitu kingine pindi kinapo tuama
mahali kinaweza jambo ambalo hata macho yako hayata amini.
Mungu si vile ambavyo unamuona bali ni vile alivyo
kwahiyo ukimuona tofauti alivyo kamwe uwezi kuyafanya yale unayotakiwa.
Utukufu wa Mungu unafaida sana ukaenda kwa namna
yake unavyotaka lakina kama utaenda tofauti utaona mateso na dhihaka na mateso
siku zote.
I wafalme 6:11-13
Kwakua utukufu utenda yale ambayo Mungu anataka
uyafanye katika utoshelevu wake ukienda kinyume jua usalama wako unaweza kutoweka.
Prepared by ;
Nelson, Cothey – 0764 018
535 or cotheyn@yahoo.com
Katiti, James - 0713 398 042 or james.adili19@gmail.com
It my pleasure
to say in his glory we are safe……………………!!!!!!!!!!